SOMA VITABU TANZANIAπŸ“š
1.15K subscribers
444 photos
265 videos
649 files
1.62K links
Karibu kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA ambapo unapata uchambuzi wa vitabu pamoja na vitabu vilivyochambuliwa

Kujiunga ni bure kwa wiki ya kwanza, kisha unalipa elfu 10 (10,000) kwa mwezi au laki 1 kwa mwaka.

Mawasiliano; 0678 977 007

Karibu.
Download Telegram
3430; Unachovutia wewe mwenyewe.
https://amkamtanzania.com/2024/05/22/3430-unachovutia-wewe-mwenyewe/

3430; Unachovutia wewe mwenyewe. Kutoka mezani kwa Kocha, Rafiki yangu mpendwa,Matokeo ambayo tunayapata kwenye maisha yetu, huwa tumeyatengeneza au kuyavutia […]
Ukitaka kumjua mtu anaye...

... kukwamisha usifanye makubwa.

... kuzuia usifike kule unakotaka.

... poteza mazuri uliyonayo...

Simama mbele ya kioo.

Yule unayemwona upande wa pili wa kioo, ndiye unayepaswa kupambana naye ili kupata matokeo bora kabisa.

Kocha Dr. Makirita Amani | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
Pata BURE Uchambuzi na kitabu; THE TEN ROADS TO RICHES.

Kuna njia nyingi sana za kujenga utajiri kwenye maisha.
Baadhi ya njia ni za kweli na zimenufaisha watu.
Na nyingi sana ni za uongo na zimewapoteza wengi.

Njia sahihi na za uhakika za kujenga utajiri zipo, lakini kwa bahati mbaya sana, wengi hawazijui wala kuzitumia.

Matokeo yake ni wengi wamejikuta wanahangaika na njia ambazo siyo sahihi kujenga utajiri na kujikuta wanaishia kupoteza muda, fedha na hata maisha.

Bilionea Ken Fisher kwenye kitabu alichoandika kinachoitwa THE TEN ROADS TO RICHES, ameainisha njia 10 za uhakika kujenga utajiri.

Njia hizo 10 ndiyo zimetumiwa na matajiri wote duniani.
Na uzuri ni kwamba, hata wewe unaweza kutumia njia hizo na ukajenga utajiri mkubwa kwa uhakika.

Tumekichambua vizuri kitabu hiki, kwa maandishi na sauti kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili iwe rahisi kwako kujifunza.

Tunakupa Uchambuzi huo pamoja na kitabu chenyewe, BURE KABISA.

Tuma ujumbe; ZAWADI YA UTAJIRI kwenda wasap namba +255 717 101 505 kuipata.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
IKIUMA, INAFANYA KAZI...

Rafiki,
Dawa ni chungu, lakini ndiyo inayokutibu...

Sindano inauma, lakini ndiyo inayoondoa maumivu.

Na ukweli huwa unauma, lakini ndiyo unaokuweka huru.

Inapokuja kwenye fedha, watu wengi wamekuwa wanajifariji na imani na mazoea waliyonayo, badala ya kuukabili ukweli.

Ni rahisi kuendelea na imani na mazoea kwamba utajiri siyo kitu kizuri na matajiri ni watu wabaya.

Lakini ukweli ni utajiri ni kitu kizuri sana na matajiri ni watu wazuri.

Kama kusikia hivyo inakuumiza, ni kwa sababu umekuwa unadanganywa sana na wewe kukubali kudanganyika.

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
NAMBA ZAKO HAZITOSHI...

Rafiki,
Kama huuzi kwa kiasi kikubwa kama unavyotaka, ni kwa sababu namba zako hazitoshi.

Mauzo ni kama chujio, juu unaweka vitu vingi, chini unatoa vichache.

Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye mauzo, unaweka wateja wengi wanaoweza kunufaika na unatoa wachache wanaonunua.

Ili kufanya mauzo makubwa zaidi, ni lazima uwafikie wateja wengi zaidi.

Kwa sababu siyo wote watakaonunua kwa wakati unaotaka, mara zote kuwa na wateja wengi zaidi.

Kitabu cha MAUZO NI MCHEZO WA NAMBA kimeelezea kwa kina namba 10 za kukuza mauzo na jinsi ya kuzifanyia kazi ili kukuza mauzo yako mara mbili na zaidi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usifanye tena mauzo ya kubahatisha, cheza na namba sahihi na uweze kukuza mauzo yako.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
VUKA MAUZO HAYA MAGUMU ZAIDI...

Rafiki,
Kumuuzia mteja kwa mara ya kwanza ndiyo mauzo magumu zaidi kufanya.

Hiyo ni kwa sababu mteja anakuwa hana historia ya kununua kwako na hivyo anakuwa na wasiwasi kama yale unayomwambia yatakuwa kweli.

Ili uweze kumshawishi mteja kununua kwa mara ya kwanza, ni lazima uwe na mbinu za tofauti kabisa.

Wengi huwa wanawauzia wateja wote kwa mbinu sawa, na hivyo kushindwa kabisa kuwauzia wateja wapya.

Kitabu cha MAUZO NI MCHEZO WA NAMBA kinakupa mbinu bora za kuwashawishi wateja kununua kwa mara ya kwanza na hivyo kuweza kufanya mauzo makubwa zaidi.

Jipatie nakala yako ya kitabu hiki ili uweze kuwauzia wateja wengi kwa mara ya kwanza na kukuza mauzo yako.
Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu.
IMANI NDIYO INAKUKWAMISHA..

Kila mtu mzima, mwenye njia yoyote ya kuingiza kipato anaweza kujenga utajiri mkubwa kwenye maisha yake.

Lakini watu wengi wamekuwa hawapati utajiri kwa sababu hawaamini kwamba wanaweza kupata utajiri.

Kama huamini kitu, hakiwezi kutokea. Akili yako itafanya kazi ya ziada kukuepusha na yale usiyoamini.

Ukianza kwa kuamini na kisha kuwajibika binafsi, hakuna kinachoweza kukuzuia kujenga utajiri mkubwa.

Kwenye kitabu cha EVERYDAY MILLIONAIRES mwandishi ametushirikisha jinsi ya kutumia imani uwajibikaji kujenga utajiri mkubwa.
Fungua hapa kujifunza; https://youtu.be/Z4R716iXADQ?si=6JaqAuqetVKuU4ky

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
LIPWA ZAIDI YA UNAVYOLIPWA SASA...

Rafiki,
Kama unataka kulipwa zaidi ya unavyolipwa sasa,

Iwe ni kwenye kazi ambayo umeajiriwa...

Au biashara ambayo unafanya.

Ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako kabisa.

Unachohitaji ni kufanya kitu kimoja tu, kuongeza thamani unayotoa.

Kile unacholipwa sasa, ni sawa sawa na thamani unayotoa.

Hivyo kulipwa zaidi, lazima utoe thamani kubwa zaidi.

Lakini sasa, kuongeza thamani ni kitu kipana ambacho wengi hawakielewi.

Nimekueleza vizuri sana jinsi ya kuongeza thamani yako na kukuza kipato chako hapa; https://youtu.be/V1Q-9QlsdN8

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
TUMEFUNGUA KLINIKI YA BIASHARA.

Rafiki,

Kama unafanya biashara ya aina yoyote ile,

Au upo kwenye mauzo.

Au unafanya shughuli inayohitaji kuwashawishi watu,

Tunakukaribisha kwenye KLINIKI ya biashara tuliyoanzisha.

KLINILI hiyo ina namba maalumu ambazo tunazipima na kuzifuatilia kuhakikisha unapata matokeo mazuri kweli.

Karibu sasa upate KLINILI hii kwa ukuaji wa biashara yako na kuongeza ushawishi wako.

Kitabu cha MAUZO NI MCHEZO WA NAMBA kimeelezea kwa kina namba 10 za kukuza mauzo na jinsi ya kuzifanyia kazi ili kukuza mauzo yako mara mbili na zaidi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usifanye tena mauzo ya kubahatisha, cheza na namba sahihi na uweze kukuza mauzo yako.
Amini Na Wajibika Binafsi Kujenga Utajiri Mkubwa.
https://amkamtanzania.com/2024/05/22/amini-na-wajibika-binafsi-kujenga-utajiri-mkubwa/

Rafiki yangu mpendwa, Ukiwaangalia watu wanaojenga utajiri na wale wanaobaki kwenye umasikini, hawatofautiani sana kwa nje. Unakuta wengi wanatokea eneo […]
Fanya Hivi Kuongeza Thamani Yako Kwa Ukubwa Na Haraka.
https://amkamtanzania.com/2024/05/22/fanya-hivi-kuongeza-thamani-yako-kwa-ukubwa-na-haraka/

Rafiki yangu mpendwa, Jim Rhon aliwahi kunukuliwa akisema; β€œUnalipwa kulingana na thamani unayopeleka sokoni.” Hiyo ni kauli ambayo mtu ukiielewa […]
#MatajiriWaKawaida; WEKA KAZI NA KUWA NA MSIMAMO KUJENGA UTAJIRI MKUBWA.

Karibu kwenye kipindi mubashara (live) cha ONGEA NA KOCHA,

Kila siku saa 10 kamili alfajiri mpaka saa 11 kamili.

Kipindi kinafanyika kupitia mtandao wa Telegram,

Unaweza kushiriki ukiwa popote duniani kwa kiungo; https://bit.ly/makirita

Kipindi cha Alhamisi tarehe 23/05/2024 tutakuwa na mada ya;

WEKA KAZI NA KUWA NA MSIMAMO KUJENGA UTAJIRI MKUBWA.

Karibu ushiriki kipindi ili upate MAARIFA, uyaweke kwenye VITENDO na upate MAFANIKIO makubwa.

Kocha Dr. Makirita Amani | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
Unachoona siyo kilichopo,
Bali ni kile ulichochagua kuangalia.
Hivyo jikague unakuwa kwenye hali gani mara kwa mara,
Kisha angalia ni vitu gani unavyokuwa unaangalia kwenye hizo nyakati.
Utaweza kuona ni wapi umekuwa unajikwamisha wewe mwenyewe ili uweze kufanya makubwa.

Kocha Dr. Makirita Amani | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
3431; Kupata furaha ya kudumu.
https://amkamtanzania.com/2024/05/23/3431-kupata-furaha-ya-kudumu/

3431; Kupata furaha ya kudumu. Kutoka mezani kwa Kocha, Rafiki yangu mpendwa, Watu huwa wanachanganya sana furaha na raha.Furaha huwa […]
Tumia Kanuni Ya A, B, C, D na E Kufanikisha Vipaumbele Vyako Na Kuwauzia Wateja
https://amkamtanzania.com/2024/05/23/tumia-kanuni-ya-a-b-c-d-na-e-kufanikisha-vipaumbele-vyako/

Tupo kwenye zama ambazo kadiri siku zinavyokwenda mambo yanazidi kuwa mengi na mudaunazidi kuwa mchache. Kwenye mambo hayo hayo mengi […]
Pata BURE Uchambuzi na kitabu; THE TEN ROADS TO RICHES.

Kuna njia nyingi sana za kujenga utajiri kwenye maisha.
Baadhi ya njia ni za kweli na zimenufaisha watu.
Na nyingi sana ni za uongo na zimewapoteza wengi.

Njia sahihi na za uhakika za kujenga utajiri zipo, lakini kwa bahati mbaya sana, wengi hawazijui wala kuzitumia.

Matokeo yake ni wengi wamejikuta wanahangaika na njia ambazo siyo sahihi kujenga utajiri na kujikuta wanaishia kupoteza muda, fedha na hata maisha.

Bilionea Ken Fisher kwenye kitabu alichoandika kinachoitwa THE TEN ROADS TO RICHES, ameainisha njia 10 za uhakika kujenga utajiri.

Njia hizo 10 ndiyo zimetumiwa na matajiri wote duniani.
Na uzuri ni kwamba, hata wewe unaweza kutumia njia hizo na ukajenga utajiri mkubwa kwa uhakika.

Tumekichambua vizuri kitabu hiki, kwa maandishi na sauti kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili iwe rahisi kwako kujifunza.

Tunakupa Uchambuzi huo pamoja na kitabu chenyewe, BURE KABISA.

Tuma ujumbe; ZAWADI YA UTAJIRI kwenda wasap namba +255 717 101 505 kuipata.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
UBAHILI SIYO KUJITESA...

Rafiki,
Msingi mkuu wa utajiri ni ubahili.

Lakini wengi huwa hawapendi kusikia neno ubahili, kwa sababu wanaona kama wanajitesa na kushindwa kuishi vile wanavyotaka.

Huo siyo ukweli, ubahili siyo kujitesa.
Bali ubahili ni kuchagua kufanya matumizi kwenye maeneo unayotapenda na kuachana na mengine.

Kinachowaponza wengi kwenye fedha ni kuiga wengine na kufata mkumbo.
Watu wanapenda sana kuiga matumizi ya wengine.

Na hilo linawapelekea kutumia pesa ambazo hata hawana, kununua vitu ambavyo hawavitaki, ili tu kuonekana na wao wana vitu hivyo.

Kufanya hivyo ni ujinga ambao utakuzamisha kwenye umasikini mkubwa.

Achana na matumizi yasiyo na tija kwako na utaokoa fedha zako nyingi ambazo umekuwa unazipoteza.

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
UKISHINDWA MAUZO, UMESHINDWA KILA KITU.

Rafiki
Sisi wote kazi yetu ya kwanza ni mauzo.
Kila mtu kwenye maisha yake kuna vitu anawashawishi wengine wakubaliane naye.
Hayo ndiyo mauzo.

Mahusiano ni mauzo,
Malezi ni mauzo,
Elimu ni mauzo,
Afya ni mauzo,
Uongozi ni mauzo.
Dini ni mauzo.

Hakuna mahali unaweza kwenda ukayakwepa mauzo.

Hivyo kama unataka kuwa vizuri kwenye maisha yako kwa ujumla, jifunze na uwe muuzaji bora.

Mauzo yana mambo yake ya msingi ambayo ukiyazingatia, mambo yanakwenda vizuri.
Moja ya mambo hayo ni namba za mauzo.

Kuna namba za msingi sana ambazo unapaswa kuzizingatia ili uweze kuwa vizuri kwenye mauzo na ushawishi.

Kitabu cha MAUZO NI MCHEZO WA NAMBA kimeelezea kwa kina namba 10 za kukuza mauzo na jinsi ya kuzifanyia kazi ili kukuza mauzo yako mara mbili na zaidi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usifanye tena mauzo ya kubahatisha, cheza na namba sahihi na uweze kukuza mauzo yako.