Neema Gospel Choir
781 subscribers
91 photos
68 videos
2 files
85 links
Born again Christians | Singers | Members of Africa Inland Church Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ(AICT) | Chang'ombe - Dar es salaam
Download Telegram
Lipa kupitia namba hii...
Anaitwa @sammynkola Ni mmoja wa familia yetu ya @neema_gospel_choir Kwa neema ya Mungu katika kufanikisha uwepo wa album yetu mpya ya THE SOUND OF AHSANTE,
Ameshirikiana na Kwaya nzima akifanya Guitar ya Bass

Mungu akubariki sana @sammynkola

Album hii inapatikana katika Flash yanye nyimbo 11,
Wasiliana nasi kujipatia flash yako kwa Tsh 20,000 tu!

#thesoundofahsante #gospel #gospelmusic #music #worship
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
Moja ya wimbo katika album ya "The Sound of Ahsante" pata flash yako mapema.
Unaweza kuwezesha Ibada hii kwa kuchangia Sadaka yako kupitia namba ya LIPA KWA M-PESA 5922779 jina SADAKA NEEMA GOSPEL CHOIR

MUNGU AKUBARIKI

ENDELEA KUWA KARIBU NA MITANDAO YETU YA KIJAMII KWA AJILI YA TAARIFA ZAIDI..!!

Sponsors are invited...!!

#WorshipinSpirit #Singwiththanksgiving #livemusic #weservethelivingGod #liverecording #choirs #WeAreGospelMusic #gospelmusic #gospelchoir #choir #tanzania #ulipotupo #jesus #livemusic #music ##Γ‘frica #worship #worshipmusic #praiseandworship
πŸ†‚ πŸ…· πŸ†„ πŸ…Ί πŸ†„ πŸ† πŸ…° πŸ…½ πŸ…Έ πŸ™πŸ½

A very humble person and charming our friend & Brother @ministerpaulclement Maneno hayatoshi kumuelezea namna tunavyokubali huduma ya kaka yetu Paul, Asante Sana kwa kukubali kutumika nasi katika ibada ya Shukurani tar 03 December, umetushika mkono! Mungu huyu atunzae ahadi zake akubariki wewe na familia yako.

#Sijawahiona ni wimbo mpya kabisa kutoka kwa kaka Paul na leo Mapema utakuwa YouTube, Karibu tuweze kubarikiwaπŸ”₯

Photo credit @light_palmer & @silverink_

#singwiththanksgiving
#worshipinspirit2021
#neemagospelchoir
#wearegospelmusic
πŸ†‚ πŸ…· πŸ†„ πŸ…Ί πŸ†„ πŸ† πŸ…° πŸ…½ πŸ…Έ πŸ™πŸ½

Kipekee tunamshukuru Mungu aliyetupa Dada, Mama na Mchungaji kwetu,Pastor @pastornsiandumi . We don't take this for granted, We feel honoured kwelikweli. Wewe ni mtu mwema, na mnyenyekevu sana, Haukujiiza mara 2x2 pale tulipokufikishia ujumbe wa kushiriki nasi katika katika ibada tuliyomuandalia Mungu, Jibu lako lilikuwa Mazoezi ni lini na wapi? πŸ˜‚

Mungu na akubariki na azidi kukutunza kwaajili ya utukufu wake mwenyewe. Wewe ni baraka kwetu

Photo credit @light_palmer & @silverink_

#singwiththanksgiving
#worshipinspirit2021
#neemagospelchoir
#wearegospelmusic