SOMA VITABU TANZANIA📚
1.15K subscribers
444 photos
265 videos
649 files
1.61K links
Karibu kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA ambapo unapata uchambuzi wa vitabu pamoja na vitabu vilivyochambuliwa

Kujiunga ni bure kwa wiki ya kwanza, kisha unalipa elfu 10 (10,000) kwa mwezi au laki 1 kwa mwaka.

Mawasiliano; 0678 977 007

Karibu.
Download Telegram
#PESA IMEJIFICHA KWENYE UFUATILIAJI
Rafiki,

Wauzaji wengi wanazikosesha biashara mauzo.
Na biashara ikikosa mauzo haiwezi kujiendesha kabisa.
Mauzo ndiyo moyo wa biashara na fedha ndiyo damu ya biashara. Bila mauzo, hakuna biashara.

Na biashara nyingi zinakosa mauzo ni kwa sababu ya kukosa ufuatiliaji.
Wateja wamezoea kuwapa ahadi wauzaji, kama vile nitakufuta nikiwa tayari, nitafute siku fulani. Licha ya kuwa wateja wanatoa AHADI hizo, lakini chakushangaza hawafuatiliwi.

Hivyo wauzaji wanaishia KUUZIWA sababu badala ya KUUZA.

Kwa jinsi biashara nyingi zinavyopoteza mauzo, habari njema ni kwamba CHUO CHA MAUZO kila ijumaa tunajifunza somo la ufuatiliaji. Na kauli mbiu yetu inasema PESA IMEJIFICHA KWENYE UFUATILIAJI.

Programu ya mafunzo ya CHUO CHA MAUZO ikiambatana na kitabu chake inakupa wewe mafunzo na usimamizi wa kukuza mauzo.

Habari njema zaidi ni kwamba mwezi huu wa Julai 2024, unapata nafasi ya kujiunga bure kwenye CHUO CHA MAUZO.
Wasiliana na 0717 101 505 kupata ofa hiyo.