SOMA VITABU TANZANIAπŸ“š
1.16K subscribers
444 photos
265 videos
649 files
1.62K links
Karibu kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA ambapo unapata uchambuzi wa vitabu pamoja na vitabu vilivyochambuliwa

Kujiunga ni bure kwa wiki ya kwanza, kisha unalipa elfu 10 (10,000) kwa mwezi au laki 1 kwa mwaka.

Mawasiliano; 0678 977 007

Karibu.
Download Telegram
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KIPIMO CHA AKILI NI PESA...

Rafiki,
Kila mtu ana akili, lakini kipimo cha akili kufanya kazi ni kiasi cha pesa unachoingiza na utajiri unaojenga.

Sisemi hili kukudharau au kukudhalilisha, bali kukuamsha utumie akili yako sawasawa.

Kwa sababu pesa ni zao la thamani, kama una pesa maana yake kuna thamani umetoa kwa wengine.

Kama una akili na huna pesa, maana yake nini?
Hakuna thamani kubwa unayotoa.
Sasa akili yako inakuwa na matumizi gani kama haiwezi kutoa thamani kwa wengine?

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MTEJA HAUZIWI MARA MOJA....

Rafiki,
Unapofanikiwa kumjua mteja, kumfikia, kumshawishi na kumuuzia. Haupsawi kuiishia hapo.

Unapaswa kuanza kumfuatilia kujua namna alivyotumia bidhaa yako.

Unapomfuatilia atakwambia mambo mengine muhimu asiyowaambia wengine. Hilo litakuongoza wewe na litakufanya umuuzie huduma nyingine.

Pia, ataona umempa thamani kubwa kuliko gharama aliyolipia. Hivyo, watakulipa kwa kuijali biashara yako.

Watabaki kwako, watakuwa waaminifu, watanunua kwa wingi, kwa muda mrefu na pia watawaleta wengine nao wanunue.

Namna gani unaenda kumbakiza katika biashara yako?

Kitabu Cha MAUZO NI HUDUMA kinakupa mbinu na mikakati ya kufanya.

Jipatie nakala yako kupitia 0678977007. Usikubali kufanya mauzo ya kubahatisha.

Karibu
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KITAKACHOJENGA AU KUVUNJA BIASHARA YAKO.

Rafiki,
Biashara ina mambo mengi sana.
Kuanzia kutafuta wateja, kuwashawishi wanunue na kuwabakisha kwenye biashara.

Lakini kuna kitu kimoja chenye nguvu ya kujenga au kuvunja biashara yoyote ile.

Kitu hicho ni huduma ambayo wateja wanaipata.

Kama wateja watapata huduma nzuri, biashara itakua na kama wateja watapata huduma mbovu, biashara itakufa.

Unapaswa kusimamia sana eneo la huduma ili uweze kujenga biashara yenye ukuaji nzuri.

Kitabu cha MAUZO NI HUDUMA kimeelezea kwa kina jinsi unavyoweza kuwapa wateja wako HUDUMA BORA SANA na ukadumu nao milele.

Kitabu kinakupa mbinu na mikakati ya kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee sana kwenye eneo la huduma kiasi cha wateja kuambiana na kuja kwa wingi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usikubali kupoteza wateja ambao wameshanunua kwenye biashara yako, wahudumie vizuri na uduku nao milele.
WEWE NI MTEJA KATIKA BIASHARA NYINGINE....

Rafiki,
Wateja wanatukumbuka sana sisi wauzaji. Japo, sio rahisi kuwakumbuka wote kwa namna tunavyowahudumia.

Je, unavyohudumia mteja, ndivyo unavyopenda kuhudumiwa?

Kama sio pole.
Kama ndiyo, hongera. Ukilijua hili litakuongoza wewe na litakufanya utoe huduma bora kwa wateja wako.

Hii ni kwa sababu unataka kutendewa mema kama wao unavyowandea. Ikiwemo kuyajua maslahi yao na kuwasaidia kuyatimiza, kuwapa thamani kubwa kuliko gharama wanayolipia na mengine mengi.

Utafanyaje ili kuwahudumia kama unavyotaka wakuhudumie wewe?

Kitabu Cha MAUZO NI HUDUMA kinakupa mbinu na mikakati ya kufanya, ili uwahudumie vizuri wateja wako.

Jipatie nakala yako kupitia 0678977007. Usikubali kufanya mauzo ya kubahatisha.

Karibu
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KITAKACHOJENGA AU KUVUNJA BIASHARA YAKO.

Rafiki,
Biashara ina mambo mengi sana.
Kuanzia kutafuta wateja, kuwashawishi wanunue na kuwabakisha kwenye biashara.

Lakini kuna kitu kimoja chenye nguvu ya kujenga au kuvunja biashara yoyote ile.

Kitu hicho ni huduma ambayo wateja wanaipata.

Kama wateja watapata huduma nzuri, biashara itakua na kama wateja watapata huduma mbovu, biashara itakufa.

Unapaswa kusimamia sana eneo la huduma ili uweze kujenga biashara yenye ukuaji nzuri.

Kitabu cha MAUZO NI HUDUMA kimeelezea kwa kina jinsi unavyoweza kuwapa wateja wako HUDUMA BORA SANA na ukadumu nao milele.

Kitabu kinakupa mbinu na mikakati ya kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee sana kwenye eneo la huduma kiasi cha wateja kuambiana na kuja kwa wingi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usikubali kupoteza wateja ambao wameshanunua kwenye biashara yako, wahudumie vizuri na uduku nao milele.
DUMU NA WATEJA MILELE...

Rafiki,
Ukiweza kumshawishi mteja akanunua mara moja, kinachobaki ni wewe tu kuweza kuendelea kuwauzia kwa muda mrefu.

Hilo litawezekana kama utaweza kutoa huduma bora zaidi kwa wateja wako.

Kuna misingi muhimu ya kuzingatia kwenye utoaji wa huduma kwa wateja. Ijue na jinsi ya kuitumia hapa; https://youtu.be/JjKvg9nWA3c

Kitabu cha MAUZO NI HUDUMA kimeelezea kwa kina jinsi unavyoweza kuwapa wateja wako HUDUMA BORA SANA na ukadumu nao milele.

Kitabu kinakupa mbinu na mikakati ya kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee sana kwenye eneo la huduma kiasi cha wateja kuambiana na kuja kwa wingi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usikubali kupoteza wateja ambao wameshanunua kwenye biashara yako, wahudumie vizuri na uduku nao milele.
#HadithiZaKocha; Kisa Cha Mbwa Mwitu Na Mbwa Wa Nyumbani.
https://amkamtanzania.com/2024/06/04/hadithizakocha-kisa-cha-mbwa-mwitu-na-mbwa-wa-nyumbani/

Rafiki yangu mpendwa, Karibu kwenye kipengele hiki cha #HadithiZaKocha ambapo nakushirikisha hadithi fupi yenye mafunzo muhimu, kisha wewe unang’amua mafunzo […]
Mbinu Mbili Za Uhakika Za Ukamilishaji Wa Mauzo 45-46
https://amkamtanzania.com/2024/06/05/mbinu-mbili-za-uhakika-za-ukamilishaji-wa-mauzo-45-46/

Habari njema muuzaji bora kabisa kuwahi kutokea, Karibu sana kwenye mwendelezo wa makala zetu za ukamilishaji ambazo ni mwendelezo wa […]
3444; Utapitwa tu.
https://amkamtanzania.com/2024/06/05/3444-utapitwa-tu/

3444; Utapitwa tu. Kutoka mezani kwa Kocha, Rafiki yangu mpendwa,Hofu ya kupitwa imekuwa ndiyo kitu kinacholeta upotevu wa muda na […]
24.6.5; Hupitwi.
https://amkamtanzania.com/2024/06/05/24-6-5-hupitwi/

Hofu ya kupitwa inakupotezea muda na umakini kwa kudhani unapaswa kufuatilia kila kitu. Lakini ukweli ni kwamba mengi unayohangaika nayo […]
Hofu ya kupitwa inakupotezea muda na umakini kwa kudhani unapaswa kufuatilia kila kitu.

Lakini ukweli ni kwamba mengi unayohangaika nayo siyo muhimu kabisa.
Utayasahau yote ndani ya muda mfupi sana.

Kuwa tayari kupitwa na mengi, kwa sababu yale yaliyo muhimu kwako lazima utayajua tu.

Kocha Dr. Makirita Amani | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
Pata BURE Uchambuzi na kitabu; EVERYDAY MILLIONAIRES.

Kumekuwa na imani nyingi potofu kwenye jamii zetu kuhusu utajiri na matajiri.
Imani hizo ndiyo zimekuwa kikwazo kikubwa kwa wengi kujenga utajiri kwenye maisha yao.

Mwandishi Chris Hogan, alifanya utafiti mkubwa sana ambao ulihusisha matajiri zaidi ya elfu 10.

Kwenye utafiti huo aliwauliza matajiri maswali mengi sana ambayo yalimwezesha kuwaelewa kwa kina.

Kwenye majibu ya utafiti huo, alihitimisha ili mtu ajenge utajiri mkubwa kwenye maisha yake, anapaswa kufanya vitu viwili tu;

Moja ni AVUNJE IMANI POTOFU alizonazo kuhusu utajiri. Ameainisha 6 za lazima kuvunja.

Mbili ni AJENGE TABIA ZA KITAJIRI. Ambapo ameainisha 5 za msingi.

Hayo yote ameyaeleza kwa kina kwenye kitabu EVERYDAY MILLIONAIRES

Tumekichambua vizuri kitabu hiki, kwa maandishi na sauti kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili iwe rahisi kwako kujifunza.

Tunakupa Uchambuzi huo pamoja na kitabu chenyewe BURE KABISA.

Tuma ujumbe; ZAWADI YA UTAJIRI kwenda wasap namba +255 717 101 505 kuipata.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
KUTAJIRIKA, ANZA KUWAFURAHIA MATAJIRI.

Rafiki,
Masikini wengi huwa wana kisirani sana.
Wakimwona tajiri, wanamchukia.
Wanaona kama umasikini wao umesababishwa na hao matajiri.

Hatua ya kwanza ya kujenga utajiri ni kuwapenda matajiri.
Unapowapenda matajiri, unauvutia utajiri kuja kwako pia.

Na huwapendi 'kichawa' bali unawapenda kwa kufurahia walichopata, ukiamini na wewe unaweza kupata pia.

Anza kuwapenda na kuwafurahia matajiri ili uweze kuvutia utajiri kuja kwako.

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MTEJA WAKO NI NANI?

Rafiki,
Huwa inashangaza sana mtu anaingia kwenye biashara lakini hajui mteja wake hasa ni nani.

Unamuuliza mtu mteja wako ni nani? Anakujibu ni KILA MTU au MTU YEYOTE.
Ukisikia tu hilo jibu, unajua kwa uhakika kwamba biashara haina wateja na itashindwa vibaya sana.

Kufanikiwa kwenye mauzo na biashara kunaanza na kujua nani hasa ndiye mteja mlengwa.

Kama upo kwenye mauzo au biashara na hujui kwa uhakika nani mteja wa biashara yako, chukua hatua sasa.

Kitabu cha MAUZO NI HUDUMA kimeelezea kwa kina jinsi unavyoweza kuwapa wateja wako HUDUMA BORA SANA na ukadumu nao milele.

Kitabu kinakupa mbinu na mikakati ya kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee sana kwenye eneo la huduma kiasi cha wateja kuambiana na kuja kwa wingi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usikubali kupoteza wateja ambao wameshanunua kwenye biashara yako, wahudumie vizuri na uduku nao milele.
MFANYE MTEJA KUWA RAFIKI?

Ndugu,
Urafiki ni kitu cha hiari tofauti na undugu usio na machaguo.

Urafiki ni suala la maamuzi ya mtu mwenyewe kuamua awe na wewe au la.

Hii kwenye mauzo ni muhimu kuifanya ili kuwa na wateja wengi unaowauzia.

Kufanikiwa kwenye mauzo na biashara kunaanza na kutengeneza marafiki wengi.

Tafiti zinaonyesha nyuma ya mtu mmoja wapo watu 250. Je, ukiwa na marafiki wa ukweli 100 utakuwa na wateja wangapi?

Kama upo kwenye mauzo au biashara na hujui jinsi ya kutengeneza wateja marafiki chukua hatua sasa.

Kitabu cha MAUZO NI HUDUMA kinakupa mbinu na mikakati ya kuifanya biashara yako kuwa ya kipekee na kutengeneza marafiki kiasi cha kuambiana na kuja kwa wingi.

Jipatie sasa nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na namba 0678 977 007. Usikubali kupoteza wateja ambao wameshanunua kwenye biashara yako, wahudumie vizuri na udumu nao milele.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
JE UNAJUA HITAJI LA MTEJA WAKO?

Rafiki,
Huwa inashangaza sana mtu wa mauzo kupendeleza bidhaa kwa mteja bila kujua hitaji lake.

Umewahi kwenda hospitalini daktari akakupa dawa bila kujua ugonjwa wako? Jibu ni hapana.

Hivyo, kufanikiwa kwenye mauzo na biashara kunaanza na kujua hitaji la mteja.

Maana kujua anachotaka kunakusogeza karibu na kumuuzia. Je, Unahitaji kujua namna sahihi kujua hitaji la mteja?

Kitabu cha MAUZO NI HUDUMA kimeelezea kwa kina jinsi unavyoweza kufanya na mteja kujielezea.

Jipatie nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na 0678977007. Usikubali kuwapoteza wateja wanaokuja katika biashara yako.

Karibu
JENGA UTAJIRI WA MWENDOKASI...

Rafiki,
Kuna njia mbili za kujenga utajiri.
Ipo njia ya kawaida ambayo ni ya mwendo wa pole.
Hii unawekeza 10% ya kipato chako na kwa miaka 20 mpaka 30 unakuwa umejenga utajiri.

Halafu ipo njia ya mwendo kasi, ambayo kwa miaka 10 mpaka 15 unakuwa umefikia utajiri.
Je ungependa kujua njia hiyo na jinsi ya kuitumia?

Angalia hapa kujifunza; https://youtu.be/Zaf4uedTigE

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri. Pia utapata nafasi ya kuingia kwenye programu ya *NGUVU YA BUKU* na kuweza kusimamiwa kufanya uwekezaji wa muda mrefu. Wasiliana na 0678 977 007 kupata kitabu na huduma.
Pata BURE Uchambuzi na kitabu; EVERYDAY MILLIONAIRES.

Kumekuwa na imani nyingi potofu kwenye jamii zetu kuhusu utajiri na matajiri.
Imani hizo ndiyo zimekuwa kikwazo kikubwa kwa wengi kujenga utajiri kwenye maisha yao.

Mwandishi Chris Hogan, alifanya utafiti mkubwa sana ambao ulihusisha matajiri zaidi ya elfu 10.

Kwenye utafiti huo aliwauliza matajiri maswali mengi sana ambayo yalimwezesha kuwaelewa kwa kina.

Kwenye majibu ya utafiti huo, alihitimisha ili mtu ajenge utajiri mkubwa kwenye maisha yake, anapaswa kufanya vitu viwili tu;

Moja ni AVUNJE IMANI POTOFU alizonazo kuhusu utajiri. Ameainisha 6 za lazima kuvunja.

Mbili ni AJENGE TABIA ZA KITAJIRI. Ambapo ameainisha 5 za msingi.

Hayo yote ameyaeleza kwa kina kwenye kitabu EVERYDAY MILLIONAIRES

Tumekichambua vizuri kitabu hiki, kwa maandishi na sauti kwa lugha rahisi ya Kiswahili ili iwe rahisi kwako kujifunza.

Tunakupa Uchambuzi huo pamoja na kitabu chenyewe BURE KABISA.

Tuma ujumbe; ZAWADI YA UTAJIRI kwenda wasap namba +255 717 101 505 kuipata.
Kufanikiwa na kushindwa kote kunahitaji kazi.
Kuna vitu ambavyo ni lazima ufanye, au usifanye ndiyo upate matokeo yanayotokea.

Kwa kuwa haya maisha lazima uweke juhudi, basi chagua kuweka juhudi zinazokupa matokeo mazuri na ya mafanikio.

Na kadiri unavyofanikiwa, kazana kuzidisha juhudi badala ya kuzipunguza. Unahitaji juhudi za ziada ili kuweza kwenda mbele zaidi.

Kocha Dr. Makirita Amani | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
Fanya Kitu Kwa Kurudia, Jenga Tabia Inayodumu
https://amkamtanzania.com/2024/06/06/fanya-kitu-kwa-kurudia-jenga-tabia-inayodumu/

Karibu rafiki,Ipo wazi kwamba, chini ya jua vitu vingi vinaweza kufanyika. Ikiwa kuna kitu ungependa kubadili au kutengeneza upya katika […]