SOMA VITABU TANZANIAπŸ“š
1.21K subscribers
444 photos
265 videos
649 files
1.65K links
Karibu kwenye channel ya SOMA VITABU TANZANIA ambapo unapata uchambuzi wa vitabu pamoja na vitabu vilivyochambuliwa

Kujiunga ni bure kwa wiki ya kwanza, kisha unalipa elfu 10 (10,000) kwa mwezi au laki 1 kwa mwaka.

Mawasiliano; 0678 977 007

Karibu.
Download Telegram
Jinsi Ya Kuwabadili Watu Bila Kuibua Hasira Au Chuki Kanuni Ya Nane
https://amkamtanzania.com/2024/08/03/jinsi-ya-kuwabadili-watu-bila-kuibua-hasira-au-chuki-kanuni-ya-nane/

Habari njema muuzaji bora  kuwahi kutokea, Hongera na karibu sana kwenye mwendelezo wa makala zetu za ushawishi kutoka kwenye programu […]
UNAKOSA USHINDI KWENYE MAISHA YAKO KWA SABABU YA KUKOSA USHAWISHI

Rafiki,

Ili uweze kufanikiwa kwenye kila eneo la maisha yako unahitaji kuwa na ushawishi.

Na chochote kile unachotaka kwenye maisha yako, tayari kipo kwa mtu mwingine. Na njia nzuri ya wewe kuweza kukipata ni uwezo wako wa kuwashawishi watu hao waweze kukubaliana na wewe na kisha kukupa kile unachotaka.

Watu wengi wanashindwa kwenye maeneo mengi ya maisha yao, siyo kwamba hawajui ni kwa sababu hawana ushawishi.

Na habari njema ni kwamba kwenye program ya CHUO CHA MAUZO, siku ya JUMAMOSI huwa tunajifunza masomo ya kujenga ushawishi.

Kitu kimoja zaidi, hupati unachostahili bali unachomshawishi. Ili kujifunza ushawishi na kuweza kukamilisha mambo yako kwa urahisi, karibu sana CHUO CHA MAUZO uweze kujifunza.

Wasiliana na 0717101505 kupata program ya CHUO CHA MAUZO pamoja na kitabu chake.
Pata OFA ya kuingia kwenye program ya CHUO CHA MAUZO bure kabisa kama ukinunua kitabu cha CHUO CHA MAUZO leo.
This media is not supported in your browser
VIEW IN TELEGRAM
MAAJABU; HII VIDEO HAIJATENGENEZWA NA MTU.

Rafiki,
Hii video fupi unayoiangalia hapa, haijatengenezwa na mtu.
Bali imetengenezwa na Akili Mnemba (Artificial Intelligence).

Hii ni teknolojia mpya yenye uwezo wa kutekeleza majukumu mbalimbali kwa uwezo mkubwa sana.

Unaweza kuigeuza Akili hii mnemba kuwa msaidizi wako binafsi na ikakurahisishia majukumu mbalimbali.

Habari njema ni kwamba tutakuwa na Darasa maalumu la kujifunza jinsi ya kutumia Akili Mnemba kukamilisha majukumu mengi binafsi.

Darasa hilo litafanyika bure kabisa kwenye kundi la KISIMA CHA MAARIFA jumamosi tarehe 03/08/2024.

Karibu sana ushiriki darasa hili ili ujifunze matumizi ya teknolojia hii mpya kwa manufaa makubwa kwako.

Kushiriki darasa, ungana nasi kwa kiungo hiki; https://chat.whatsapp.com/KHtzXfz8pR85ZTHtJ8ZmS4

Karibu ujifunze kutumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence) kama msaidizi wako binafsi (Personal Assistant).
πŸ‘1
Kama unataka kufanikiwa, nenda vizuri na neno hapana.

Kuwa tayari kuwaambia wengine hapana pale wanapokuja kwako na mapendekezo ambayo hayaendani na kile unachotaka.

Pia endelea kung'ang'ana hata baada ya kuambiwa hapana na wengine, mpaka upate unachotaka.

Hapana isikutishe wala kukukwamisha, bali ikuchochee kufanikiwa.

Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
HIVI NDIVYO PESA YAKO INAVYOTUMIKA, SHUTKA.

Rafiki,
Kila mmoja wetu kuna kipato anaingiza, na kipato hiki kuna sehemu kinaenda. Usipokuwa makini utajikuta pesa yako inaenda tu.

Hapa chini nimeainisha maeneo matatu kipato kinapoenda;

Moja; Kukitumia kwa matumizi mbalimbali. Inaweza kuwa kununua nguo, kodi na vitu vingine, lakini unakuwa umetengana nacho kabisa.

Mbili; Kuweka akiba.
Hapa unatunza fedha hiyo kwa matumizi ya baadaye. Unaweza kutunza mwenyewe au kuweka kwenye akaunt za benki. Japo kutunza mwenyewe inaweza kuwa hatari zaidi.

Tatu; Kuwekeza kwenye maeneo yanayokua thamani na kuzalisha faida. Kwenye uwekezaji, thamani ya fedha inaenda ikikua kulingana na mabadaliko ya kiuchumi na faida unarudi kama gawio au riba.

Wengi wetu eneo la tatu hatulipi nguvu, lakini ndilo eneo zuri kama unataka kujenga utajiri.

*MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze mambo ya msingi ya kujenga utajiri na uwekezaji na kuunganishwa kwenye program NGUVU YA BUKU* piga 0713604101 kupata kitabu
πŸ‘1
OKTOBA, SIYO YA KUKOSA.

Rafiki,
Huwa kuna matukio yanatokea mara moja na kuacha alama kubwa sana kwenye maisha ya mtu.

Una bahati kwa sababu oktoba linaenda kutokea tukio hilo, ambalo litaacha alama kubwa sana kwenye maisha yako.

Litayafungua macho yako na utauona ulimwengu mpya ambao hukuwahi kudhani kama upo.

Utaona jinsi ilivyo ndani ya uwezo wako kabisa kujenga UTAJIRI na MAFANIKIO makubwa.

Tukio hilo ni SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024, ambayo itafanyika Mbezi Garden Hotel tarehe 27/10/2024.

Kwa kiingilio cha Tsh 65,000/= ambacho kinagharamia kila kitu mpaka chakula, unakwenda kupata mapinduzi makubwa sana kwenye maisha yako.

Ili kuhakikisha hukosi semina hii, nimekuandalia mpango wa kulipa kidogo kidogo, kuanzia buku.

Karibu ujiwekee nafasi ya kushiriki SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 leo kwa kutuma ujumbe SEMINA 2024 kwenda namba 0717 396 253.

Njoo upindue meza 2024, shiriki SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024.
Mafanikio tayari ni magumu,
Usizidishe ugumu wake kwa kuongeza hatua zisizo na tija kwenye kile unachofanya.
Wape watu kile wanachotaka ili nao wakupe wewe kile unachotaka.
Usiongeze hatua zozote zisizokuwa na umuhimu kwenye hilo.

Kocha Dr. Makirita Amani, MD, CFE | +255678977007 | https://bit.ly/makirita
Jinsi Ya Kupata Wateja Bora
https://amkamtanzania.com/2024/08/06/jinsi-ya-kupata-wateja-bora/

Habari njema wauzaji bora kuwahi kutokea. Karibu katika mwendelezo wa masomo yetu ya programu ya CHUO CHA MAUZO yenye lengo […]
SHIRIKI SEMINA KWA BUKU MOJA.

Rafiki,
Je umeshathibitisha kushiriki SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024?

Kama bado, chukua hatua sasa uli usikose nafasi.

Unakwama wapi? Gharama ni elfu 65(65000)

Habari njema ni kwamba tunao mpango wa kulipia kidogo kidogo mpaka unamaliza unaonaje huu mpango kwako?
Watu wameanza kuwekeza kwa shilingi elfu moja kila siku ili wasikose SEMINA.
Anza na wewe leo usikubali kukosa semina kwa shilingi elfu MOJA.

Tuma ujumbe sasa kwenda namba 0717396253 wenye maneno SEMINA 2024 na utapewa maelezo zaidi.

Usikose fursa hii ya kipekee kabisa kwako kupindua meza mwaka huu 2024.

Karibu.
UTAJIRI SIYO DHAMBI NA UMASIKINI SIYO UTAKATIFU

Rafiki,

Jamii imekuwa na mtazamo hasi na mbovu kuhusu utajiri, ambao unapendwa na wale wasiotaka kujituma na kufanya makubwa.

Utajiri siyo dhambi, utajiri ni kitu kizuri ambacho kina mchango mkubwa kwenye kila jamii.

UMASIKINI umekuwa unatukuzwa kama vile ni kitu kizuri sana. UMASIKINI umekuwa unaonekana kama vile ni UTAKATIFU, kwamba utateseka kwa UMASIKINI duniani lakini mbinguni utaenda kuishi vizuri.

Usikubali kujizuia kupata Fedha na utajiri kwa sababu ya mitazamo hasi iliyopo kwenye jamii.

Kama una ndoto kubwa na upo tayari kukaa kwenye mchakato wa kufanya kilicho sahihi, utajiri ni kitu sahihi na kizuri kwako, kipambanie.

Wasiliana na namba +255 678 977 007 kupata kitabu hiki cha BILIONEA MAFUNZONI ili kupata mwongozo kamili wa kufikia kwenye UBILIONEA.

Karibu tupambane kuupiga vita UMASIKINI kwa sababu unatesa watu wengi, uchukie kwa kupambana na kuchukua hatua SASA kwa kupata mwongozo kamili hapa +255 678 977 007.
HIVI NDIVYO UNAVYOWEZA KUWATUMIA WATEJA WAZURI ULIONAO KUPATA WATEJA WAZURI ZAIDI

Rafiki,

Kila biashara inahitaji wateja wazuri wanao nunua mara nyingi na kufanya manunuzi makubwa.

Wateja wazuri ni pumzi ya biashara. Ukiwa nao, mambo mengi kwenye biashara yanaenda vizuri.

Biashara haipaswi kuwa na wateja wazuri wachache, biashara inapaswa kuwa na wateja wengi wazuri ili iweze kujiendesha kwa faida.

Kama huna wateja wazuri, maana yake una MAUZO DUNI, na kama huna mauzo maana yake huna biashara na siku siyo nyingi utaifunga biashara.

Kwa nini haya yote yatokee wakati unaweza kuwatumia wateja wazuri ULIONAO KUPATA WATEJA WAZURI ZAIDI?
Habari njema ni kwamba, kwenye CHUO CHA MAUZO,siku ya JUMANNE tunajifunza masomo ya usakaji wa wateja kwenye biashara.

USAKAJI NDIYO PUMZI YA BIASHARA na hii ndiyo kauli mbiu yetu kwenye eneo la usakaji, njoo ujifunze namna ya kuwa muuzaji bora kuwahi kutokea kwa kuwasiliana na namba 0717101505

PATA OFA ya Nane Nane, pata kitabu cha CHUO CHA MAUZO na uingie CHUO Bure.
Mbinu Mbili Za Uhakika Za Ukamilishaji Wa Mauzo 63-64
https://amkamtanzania.com/2024/08/07/mbinu-mbili-za-uhakika-za-ukamilishaji-wa-mauzo-63-64/

Habari njema muuzaji bora kabisa kuwahi kutokea, Karibu sana kwenye mwendelezo wa makala zetu za ukamilishaji ambazo ni mwendelezo wa […]
FAIDA NNE ZA KUWEKA AKIBA

Rafiki,
Mojawapo ya kanuni bora ya matumizi mazuri ya pesa ni akiba. Japo baadhi ya watu hufikiri kuwa ili uweze kuweka akiba ni lazima uwe na pesa nyingi, lakini ukweli ni kuwa kuweka akiba ni maamuzi tu na siyo kuwa na pesa nyingi.

Kwenye makala ya leo, nimekuwekea faida nne unazopata kutokana na kuweka AKIBA;

Moja; Kujiaandaa kwa dharura
Watu wengi huingia kwenye madeni au kupata uhitaji mkubwa wa pesa inapotokea na dharura, lakini ukiwa na akiba ndiyo utatumia.

Mbili; Uhuru wa kifedha
Hii ni kuwa mtu ambaye unatakiwa kuwa maishani na kuweza kufanya au kupata kile unachokihitaji maishani.

Tatu; Matumizi mazuri ya pesa.
Kuweka akiba siyo kuwa na pesa nyingi bali ni maamuzi na mipango stahiki pekee.

Nne; Utulivu wa akili.
Unapokuwa akiba yoyote hata ndoto unazoota sio za kukimbizwa mitaroni unakuwa na utulivu wa akili.

MUHIMU;* Pata kitabu cha *MTAALA WA UTAJIRI* ujifunze na kuingizwa kwenye program ya NGUVU YA BUKU Wasiliana na 0713604101 kupata kitabu na huduma.
PITA HAPA KAMA MISHAHARA YAKO HAIKUTANI...

Rafiki,
Kipindi cha mwisho wa mwezi huwa ni neema kwa wafanyakazi.

Lakini katikati ya mwezi, mambo huwa ni magumu sana.

Hiyo ni kwa sababu kipato cha mshahara huwa ni kidogo na hakikutani na kinachofuata.

Na kusubiri mshahara upande huwa ni kitu ambacho hakiwezi kutabirika wala kutegemewa.

Kama wewe ni mwajiriwa na kipato hakitoshelezi (ndivyo ilivyo kwa waajiriwa wengi) kuna habari njema hapa kwa ajili yako.

Kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA kinakupa mwongozo wa kuanzisha na kukuza biashara itakayokuongezea kipato huku ukiendelea na ajira yako.

Ni kwa njia hiyo ndiyo unaweza kujihakikishia kipato cha kuendesha maisha yako.

Jipatie leo nakala yako ya kitabu kwa kuwasiliana na 0678 977 007.

Usikubali kuendelea na maisha ya vipato kutokukutana.
Pata kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA ujikomboe kwenye kipato.
HUU NDIYO MPANGO BORA WA USIMAMIZI WA FEDHA BINAFSI UNAOPASWA KUWA NAO.

Rafiki,
Usimamizi wa fedha binafsi ndiyo kitu muhimu sana kwenye maisha.
Maana ndipo mambo yote yanapoanzia.

Kwenye SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024 unakwenda kupata mpango wako kamili wa kufanyia kazi na kupata utajiri na uhuru wa kifedha.

Mpango unaoenda kutoka nao utakuwa na;
1. Njia za uhakika za kuongeza kipato.
2. Namna bora ya kudhibiti matumizi.
3. Mkakati wa kuondoka kwenye madeni.
4. Mpango wa kuweka akiba bila kuingilia.
5. Mpango wa uwekezaji kufikia uhuru wa kifedha.
Hayo yote utajifunza na kuondoka na mkakati kamili wa kufanyia kazi.

Semina itafanyika tarehe 27/10/2024 DSM.

Ada Ya kushiriki semina ni Tsh 65,000/=.
Kupata nafasi ya kushiriki semina, tuma taarifa zako sasa kwenda namba 0717396253.

Karibu sana uende kupindua meza kwenye eneo la fedha na uwekezaji.
Shiriki SEMINA YA KISIMA CHA MAARIFA 2024.
πŸ‘1
MAUZO NI HUDUMA

Rafiki,
Biashara ina mambo mengi sana.
Kuanzia kutafuta wateja, kuwashawishi wanunue na kuwabakisha kwenye biashara.

Lakini kuna kitu kimoja chenye nguvu ya kujenga au kuvunja biashara yoyote ile.
Kitu hicho ni huduma ambayo wateja wanaipata.

Kama wateja watapata huduma nzuri, biashara itakua na kama wateja watapata huduma mbovu, biashara itakufa.
Unapaswa kusimamia sana eneo la huduma ili uweze kujenga biashara yenye ukuaji mzuri.

Habari njema ni kwamba kwenye program ya CHUO CHA MAUZO ikiambatana na kitabu chake inakupa wewe mafunzo, usimamizi wa kukuza mauzo na jinsi unavyoweza kuwapa wateja wako HUDUMA BORA SANA kiasi cha kuongeza MAUZO.

Wasiliana na namba 0717101505 ili upate program ya CHUO CHA MAUZO na kitabu chake.

Kitu kimoja zaidi, ukinunua kitabu cha CHUO CHA MAUZO mwezi huu, unapata ofa ya kujiunga na CHUO CHA MAUZO bure kabisa.
Hii siyo ya kukosa, wahi kabla ofa haijaisha, piga 0717101505 sasa hivi kupata OFA yako.
*Mambo 6 Rahisi Yatayokusaidia Uwahi Kuamka Asubuhi na Mapema Huku Ukiwa na NGUVU na Furaha Hata Kama Kila Siku Unachelewa*...

Rafiki Yangu Watu Wengi wanapenda Kuamka Asubuhi Wakiwa na NGUVU na Furaha,

Lakini Wengi Wanaamka Wakiwa Wamechoka Hoi Taabani na Kuwapelekea Kuzianza Siku Zao Vibaya,

Na sio kwamba ni Wavivu, Bali TU ni kwasababu hawajayazingatia mambo haya 6 kwa msimamo unayoenda kuyaona Hapa chini;

1. Moja; Hakikisha Unapata Mlo Wa Mwisho Wa Siku MASAA MAWILI Kabla ya Muda Wako wa Kulala.

2. Hakikisha Unaachana na Simu Yako Lisaa Limoja Kabla Ya Muda WA Kulala.

3. Hakikisha Huingii na Simu Yako Kitandani.

4. Hakikisha Unaweka Alamu Yako Mbali na Unapolala.

5. Hakikisha Unalala Sehemu tulivu na Yenye Giza.

6. Hakikisha Unatenga Angalau MASAA 6 Mpaka 8 ya kulala.

Oh!, Kidogo Nisahau.....

Rafiki Yangu Kama Bado Hujadhibitisha Kushiriki SEMINA YA KISIMA Cha MAARIFA 2024,

....Basi Andika *NITASHIRIKI* Hapa Chini.

Karibu.