Kama Huweki Mfumo wa Fedha Leo Jiandae Kuendelea Kunyanyaswa Na Maisha…
https://amkamtanzania.com/2025/05/13/kama-huweki-mfumo-wa-fedha-leo-jiandae-kuendelea-kunyanyaswa-na-maisha/
‌Kakaa/Dadaa hebu fikiria hii… kila mwezi pesa inaingia, halafu ndani ya wiki mbili unajiuliza, *Ile hela imeenda wapi?*‌ Na wewe si mlevi.‌ Huna starehe kubwa.‌ Lakini bado hela zako zinaisha bila habari. Mara kodi, mara vocha, mara outing ya ghafla.‌ Na mwisho wa mwezi unabaki na ndoto tu hakuna akiba, hakuna maendeleo.‌ Ni kama maisha […]
https://amkamtanzania.com/2025/05/13/kama-huweki-mfumo-wa-fedha-leo-jiandae-kuendelea-kunyanyaswa-na-maisha/
‌Kakaa/Dadaa hebu fikiria hii… kila mwezi pesa inaingia, halafu ndani ya wiki mbili unajiuliza, *Ile hela imeenda wapi?*‌ Na wewe si mlevi.‌ Huna starehe kubwa.‌ Lakini bado hela zako zinaisha bila habari. Mara kodi, mara vocha, mara outing ya ghafla.‌ Na mwisho wa mwezi unabaki na ndoto tu hakuna akiba, hakuna maendeleo.‌ Ni kama maisha […]