AJIRA NA FURSA
15.9K subscribers
1.33K photos
21 videos
460 files
10.8K links
✓LIVE!Taarifa za Ajira/Kazi Kila Saa
✓Government Jobs | UTUMISHI/PSRS
✓Temporary and Part-time Jobs
✓Volunteering Opportunities
✓Graduate Training Opportunities
✓International Opportunities
✓Scholarships and Internships
Download Telegram
DODOMA: SERIKALI imesema itaunda timu ya wataalamu itakayojumuisha wizara tano kuchambua waraka wa unaojiita Umoja wa Walimu Wasio na Ajira (NETO).

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa mma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema hayo katika Mji wa serikali Mtumba, Dodoma.

Imeandaliwa na Mwandishi Maalumu

Zaidi tembelea: https://habarileo.co.tz

#HabarileoUPDATES